PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Katika usiku wa RnB ulioandaliwa na the Bridge show ya Mlimani TV, line up ya wasanii kadhaa iliperform lakini mnyama TID ambaye amekwisha kutajwa kama moja ya mastaa waliowahi kudate na Wema Sepetu alisuprise sana watu kwa kitendo cha kujisifu jukwani kwamba amewahi kutembea na msanii wa bongo movie Wema sepetu!