Video. Mshuhudie Humphrey Polepole akitema Yai

Video. Mshuhudie Humphrey Polepole akitema Yai

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje!

Humphrey Polepole akiongea Kiingereza enzi hizo. Watu 'wanatokaga' mbali sana.

 
Polepole yuko njema, anafaa uwaziri wa mambo ya nje huyu kijana maana yuko charismatic na anajua kudisarm opponents.

Pia hatumii nguvu kushawishi, amekaa kiinnocent innocent na Yai analijua!, na kiswahili anakijua

Huyu na January Makamba mmojawapo anafaa kuwa waziri wa mambo ya nje na si huyo profesa Kabudi
 
Polepole yuko njema, anafaa uwaziri wa mambo ya nje huyu kijana maana yuko charismatic na anajua kudisarm opponents.

Pia hatumii nguvu kushawishi, amekaa kiinnocent innocent na Yai analijua!, na kiswahili anakijua

Huyu na January Makamba mmojawapo anafaa kuwa waziri wa mambo ya nje na si huyo profesa Kabudi
The problem with January is mbwambafying traits...following his family background(high class). He should be humble creating his own future not relying on his fathers' shoulder. He need to change for better future..bright future is waiting for him.
 
Back
Top Bottom