Mimi sinto biti araundi ze bushi, nikiliachia hapa jibu lazima nichezee ban, bora mtumie tafsiri hiyop ya xpin.
zd naomba ufafanuzi wa hiyo bold kabla sijagonga senksi!
aaahh wat a pigheaded shemeji?? Afu ntakuambia majina anliyotupa, ngoja nikuPM
Mchumba bana,mbona unataka kuleta matatizo na shemejio,au ndio unaleta mambo ya shemeji kula? sidhani kama mdogo wangu bht anadanganyika.Lakini mie nakupenda hivyohivyo ulivyo.ZD naomba ufafanuzi wa hiyo bold kabla sijagonga senksi!
unanitafuta shemeji.....umenipata endelea
Bht am counting 8..... 7.......6....
Mchumba bana,mbona unataka kuleta matatizo na shemejio,au ndio unaleta mambo ya shemeji kula? sidhani kama mdogo wangu bht anadanganyika.Lakini mie nakupenda hivyohivyo ulivyo.
bht sasa nimekuelewa yani Iribini ndio yale majina aliyotupa uliyonipiemu? mbona hukunimbia mapema mdogo wangu?unanitafuta shemeji.....umenipata endelea
Hao bila kuwatafsiria direct hawataki kuelewa. Ngoja nijaribu kwa hili. Mtarimbo ni kikata bikira! Satisfied?
nikusaidie kumalizia 5.....4....3......
una bahati dadangu anakupenda hivo hivo tu....till death doth u apart!!!!
Na mie nakuruhusu kama kweli unaweza kudiriki,Mie nakupenda mchumba na nakuahidi ntakuwa mwaminifu kwako mpaka mwisho.Hahahaha! Kizuri kula na nduguyo. Bht usidanganyike! Anakunyima bahati huyu!
bht sasa nimekuelewa yani Iribini ndio yale majina aliyotupa uliyonipiemu? mbona hukunimbia mapema mdogo wangu?
Lakini usijali,yale majina ni ya baraka tu,kama tulivyobarikiwa na Mungu.
Na huyo shemejio umsamehe bure.
Bikira Maria mama wa Yesu na rafiki yake Maria Magdalena! Mimi ndio Yusufu mwenyewe, dume lisilo na wivu!
hahaaaaa!!! tunashukuru kwa majina mazuri
Hahahahaaa,umeamua kuyaweka wazi hayo majina.sisi ni watumishi wa Bwana.Ubarikiwe mchumba.Bikira Maria mama wa Yesu na rafiki yake Maria Magdalena! Mimi ndio Yusufu mwenyewe, dume lisilo na wivu!
Na mie nakuruhusu kama kweli unaweza kudiriki,Mie nakupenda mchumba na nakuahidi ntakuwa mwaminifu kwako mpaka mwisho.
ZD na bht kwa mara ya tatu na ya mwisho: Title ya hii thread inasemaje?
kwani we ndo facilitator?????
Unataka ban? Rudi kwenye mtalimbo uliolala doro. Ushakutana nao?
Unataka ban? Rudi kwenye mtalimbo uliolala doro. Ushakutana nao?