Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alihamia lini ccm ?Kabla hajahamia CCM?
Kwani Halima Mdee alihamia lini?Alihamia lini ccm ?
Mtikila ni noma. Aliyoyasema ndio hayo hayo 100% yalivyokuwaInaonekana Mtikila alijua tabia za Magufuli kabla hajapata Urais, alipozungumzia kipengele cha maadili kumuhusu Magufuli hapo ndipo nilitaka kujua alilenga nini zaidi.
Inawezekana matokeo ya hicho kipengele ndio upotevu wa zile 1.5t zilizokuja kupotea baadae kwenye utawala wa Magufuli...
Kumbe hawa wagombea wenza wanaweza kuwa wanazungumza mambo mazito lakini sisi huwa tunayachukulia kwa utani matokeo yake tunakuja kuumia baadae.
Hatari sana mwanamke kam ww kumuita binadamu mwenzako shetani wakati una tanua miguuu unabeba mimba unazaaa je unajua utazaaa kituko gani? Pole kwa kuwa popoma.Makufuli alikuwa ni shetani kamili