Video: Mwanajeshi wa Canada aliyeenda kuisaidia Ukraine aelezea mziki mnene wa majeshi ya Urusi alioushuhudia, asema 'NI BALAA TUPU'!

Video: Mwanajeshi wa Canada aliyeenda kuisaidia Ukraine aelezea mziki mnene wa majeshi ya Urusi alioushuhudia, asema 'NI BALAA TUPU'!

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Mwanajeshi huyo aliyeenda pamoja na Sniper Wali anasema ilikuwa ni majanga matupu...ilikuwa kila siku rafiki zake wanajeshi wa kigeni wanauawa...yeye akaamua kuachana na kwenda front line.

Anasema ktk tukio moja akiwa na sniper Wali wakijitia kujificha kwenye nyumba moja ili kuwalia timing wanajeshi wa Urusi sniper Wali afanye mambo yake, walishtukia nyumba walimojificha ikilipuliwa na mabomu ya wajeda wa Russia...huyu mwanajeshi anakwambia alishtuka, mwili wote ukawa watetemeka...ilibidi atambae kama mtoto wa miezi kadhaa.

Sitaki kueleza zaidi, nitaambiwa natia chumvi mie mRusi wa Yombo

 
Mwanajeshi huyo aliyeenda pamoja na Sniper Wali anasema ilikuwa ni majanga matupu...ilikuwa kila siku rafiki zake wanajeshi wa kigeni wanauawa...yeye akaamua kuachana na kwenda front line...

Russian forces fired cruise missiles to destroy a large depot containing U.S. and European weapons in western Ukraine's Ternopil region, Interfax reported on Sunday, as street fighting raged in the eastern city of Sievierodonetsk.

The governor of the Ternopil region said a rocket attack on the city of Chortkiv fired from the Black Sea had partly destroyed a military facility, injuring 22 people. A local official said there were no weapons stored there.

Reuters could not independently confirm the differing accounts.

Moscow has repeatedly slammed the United States and other nations for supplying Ukraine with weapons. President Vladimir Putin said earlier this month that Russia would strike new targets if the West supplied longer-range missiles to Ukraine for use in high-precision mobile rocket systems.

Ukrainian leaders have renewed pleas to Western countries in recent days to speed up deliveries of heavy weapons as Russian forces pound the east of the country with artillery.

Sievierodonetsk has become epicentre of the battle for control over the industrialised Donbas region in the east, made up of Luhansk and Donetsk provinces. Parts of the city have been pulverised in some of the bloodiest fighting since Moscow began its invasion on Feb. 24.

Luhansk Governor Serhiy Gaidai said on Sunday that Ukrainian and Russian forces were still fighting street by street in Sievierodonetsk. He said that while Russian forces have taken most of the city, Ukrainian troops remain in control of an industrial area and chemical plant where hundreds of civilians are sheltering.

After being forced to scale back its initial campaign goals Moscow has turned to expanding control in the Donbas, where pro-Russian separatists have held a swath of territory since 2014.

Ukraine has said some 800 people were hiding in bomb shelters under the Azot plant, including employees and city residents.

"No one can say whether and how many victims there have been in the last 24 hours in Sievierodonetsk, where intense fighting continues," Gaidai said on the Telegram messaging app on Sunday.

"Everyone wants to evacuate now, probably, but so far there is no such possibility,"

In Lysychansk - Sievierodonetsk's twin city across the Donets River - a woman was killed in Russian shelling while four houses and a shopping centre were destroyed, Gaidai said. by

To the south and southwest of Sievierodonetsk, Russian forces were firing mortars and artillery around a number of settlements, according to a daily update from Ukraine's general staff. But it said Ukrainian forces had repulsed Russian attempts to advance towards some communities.

Thanks Reactions: Kibumbula, EINSTEIN112, kilwakivinje and 5 othe
 
The Ukraine has lost the war but since everything is being demoted from Washington, the Comedian cannot take any decision. Very sad Ukrainians are paying unnecessary price because of an idiot ruler who is just filling his pockets.
 
Kuna mwingine atakuambia bila nyukilia Russia si lolote si chochote.
Mwingine atakuambia Ukraine angepewa silaha kubwa Urusi angekoma.
Wanasahau kwamba Urusi ilishawahi kupitia mapito magumu mno kuliko nchi nyingine yoyote duniani.
Ilisha pigwa na kupiga sana
 
Eti naye anajiita sniper....halafu kwa taarifa yake wali bado yupo
1655148411591.jpg
 
Back
Top Bottom