Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mpumbavu mmoja anapangia watu wale nini kana kwamba huwa anawapa hela ya kulaSijaangalia video lakini kwa kusoma heading tu, no comment...[emoji4]
😂😂 Msukuma mwenzio anapenda ugali sana.Huyo mama ni msengerema
Na chai ya rangi ya maviungo na sukari nyingi!!Balaa lake Hapo ni BALAAHH!!Anajua wali maharage huyo? Au kiporo chake asubuh.[emoji23][emoji23][emoji23]. Chukueni bandari tuachieni wali maharage.
Hayo ni mawazo yake sasa kwa nini unajumuisha wanawake wote?Umeona wanawake walivyo ahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2749235
Mamdogo Amehlo unaitwa huku kutoa coments..!!Umeona wanawake walivyo ahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2749235