Kuna mpumbavu mmoja anapangia watu wale nini kana kwamba huwa anawapa hela ya kulaSijaangalia video lakini kwa kusoma heading tu, no comment...[emoji4]
😂😂 Msukuma mwenzio anapenda ugali sana.Huyo mama ni msengerema
Na chai ya rangi ya maviungo na sukari nyingi!!Balaa lake Hapo ni BALAAHH!!Anajua wali maharage huyo? Au kiporo chake asubuh.[emoji23][emoji23][emoji23]. Chukueni bandari tuachieni wali maharage.
Hayo ni mawazo yake sasa kwa nini unajumuisha wanawake wote?Umeona wanawake walivyo ahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2749235
Mamdogo Amehlo unaitwa huku kutoa coments..!!Umeona wanawake walivyo ahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2749235