Video: Nilidhani mabonge siyo wezi ama vibaka.

Jamaa kapigwa roba la mbao

Sielewi kwanini hawajahangaika na Hilo zigo alilobeba jamaa
 
Daah SA wengi mabonge ndio wezi balaa na wakikaa kwenye Mercedes Benz wakisoma ramani kama ni mgeni utajua ni watu wema kumbe ni wezi balaa muda mwingine utawakuta wameshika Laptop mbovu kama wametoka ofisi kumbe wanataka kuiba tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…