Cc BICHWA KOMWE -Thread tayar
Ncha kali maaamaeeeIt only takes kibaka to recognize other fellow vibakas.
Hao jamaa mbona wanemkaba kabla hata hajalipwa hapo?Ncha kali maaamaeee
we mfilisti achana na mimi
🤣we mfilisti achana na mimi
Targeted Crime in South Africa.Umdhaniaye siye. Hata mabonge ni wezi na vibaka?
View: https://www.youtube.com/watch?v=ceNupu_zjq0&pp=ygUlcm9iYmVyeSBjYXVnaHQgb24gY2FtZXJhIHNvdXRoIGFmcmljYQ%3D%3D
mrangi Isanga family King Kong III
Weee! South sio sehemu ya kutoa msaadaAlafu hakuna msaada
Ova
Be alerted that, they were having the hand-guns in their pockets.Uzuri mmoja wa Tz ni kuwa ujinga kama huu hauwezi kutokea. Jamaa na ubonge wao lakini wangewaka.