Video: Nini chanzo cha 'ujasiri' huu dhidi ya trafiki?

Video: Nini chanzo cha 'ujasiri' huu dhidi ya trafiki?

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na video hii ambayo kwa jicho la haraka inaonesha dereva akikaidi takwa la askari wa usalama barabarani kusimamisha gari. Jamaa ameonekana kugoma kufunga breki hata baada ya askari huyo kusimama mbele ya gari.

Unadhani ni ipi sababu ya huyu bwana kuwa mkaidi? Je, ni namna ya kupinga uonevu unaotekelezwa na baadhi ya wenye mamlaka, au ni raia tu 'wamechafukwa' siku hizi?

 
Hizi ni zile zama za unanijua mimi ni nani??!!
Huyo driver bila back up ya mtu mzito juu asingethubutu kufanya ujinga huo.
 
Katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na video hii ambayo kwa jicho la haraka inaonesha dereva akikaidi takwa la askari wa usalama barabarani kusimamisha gari. Jamaa ameonekana kugoma kufunga breki hata baada ya askari huyo kusimama mbele ya gari.

Unadhani ni ipi sababu ya huyu bwana kuwa mkaidi? Je, ni namna ya kupinga uonevu unaotekelezwa na baadhi ya wenye mamlaka, au ni raia tu 'wamechafukwa' siku hizi?

View attachment 2511055
UNAJUA MIMI NI NANI?? 🤣
 
Vyombo vya ulinzi wajifunze kuheshimiana,kila mmoja ni muhimu kwa nchi.
 
Huyo traffic kichwani naye hayuko sawa. Ana risk maisha yake kukaa mbele ya gari hilo.

Hivi atatambuaje kama huyo mwenye gari, akili zake siyo timamu akamparamia

Ova

Kweli kabisa
Vitu vingine ni kumwachia mgomvi ashinde tu walahi
 
kuna factors kadhaa hapo,
1. Ana mtu mzito 2. Jeuri ya pesa 3. Tabia binafsi(dharau) 4.Wanafahamiana(mtani wake) 6.......
 
Back
Top Bottom