Video: Nuhu Mziwanda afunguka makubwa kuhusu kupigwa na Shilole, pia kutokujua lugha ya Kingereza

Wazazi tunashida ndio maana nilisema kwa maisha ya sasa ni mara mia ya mtoto wa kike kuliko wa kiume, toto la kiume ndio kama hivi linakuja kukutia aibu tu mzazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…