Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alikuwa high on Cocktail amejilipua peke yake.Duuh sasa jitu alioni hasara kujiua lenyewe.litashindwa kuua wenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nafikiri hii ilikuwa targeted assassination, haiwezekani uwe suicide bomber na hujui kutumia vilipuzi. kuna mtu walikuwa wanamlenga pale ila sijui kama walimpata.Hehehe!! Sidhani kama lilikua na nia ya kujilipua, litakua lilichanganya vilipuzi, halikua limepata mafunzo ipasavyo maana hainingii akilini ajilipue mwenyewe bila kuwa ndani ya watu walau afe na wachahe, maana kifo chake hakina faida kwa itikadi alizo nazo za kupewa mabikra.
Inawezekana alikuwa conered, so hio ikawa ndio last resort...Hehehe!! Sidhani kama lilikua na nia ya kujilipua, litakua lilichanganya vilipuzi, halikua limepata mafunzo ipasavyo maana hainingii akilini ajilipue mwenyewe bila kuwa ndani ya watu walau afe na wachahe, maana kifo chake hakina faida kwa itikadi alizo nazo za kupewa mabikra.
Maybe his senses came back lateHehehe!! Sidhani kama lilikua na nia ya kujilipua, litakua lilichanganya vilipuzi, halikua limepata mafunzo ipasavyo maana hainingii akilini ajilipue mwenyewe bila kuwa ndani ya watu walau afe na wachahe, maana kifo chake hakina faida kwa itikadi alizo nazo za kupewa mabikra.