Video of terrorist blowing himself up - Nairobi/Dusit

vulcan

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,742
Reaction score
2,459
Ni kama hili gaidi lilipatwa na mawazo mengi likajilipua nje ya hoteli.
 
Magaidi si wakuonea huruma hata kidogo, popote pale walipo wasakwe na watokomezwe
 
Magaidi si wakuonea huruma hata kidogo, popote pale walipo wasakwe na watokomezwe
 
Duuuh
Hapo nahisi "Allah U Akbar" ilihusika
 
Hehehe!! Sidhani kama lilikua na nia ya kujilipua, litakua lilichanganya vilipuzi, halikua limepata mafunzo ipasavyo maana hainingii akilini ajilipue mwenyewe bila kuwa ndani ya watu walau afe na wachahe, maana kifo chake hakina faida kwa itikadi alizo nazo za kupewa mabikra.
 
mimi nafikiri hii ilikuwa targeted assassination, haiwezekani uwe suicide bomber na hujui kutumia vilipuzi. kuna mtu walikuwa wanamlenga pale ila sijui kama walimpata.
 
Inawezekana alikuwa conered, so hio ikawa ndio last resort...
 
Maybe his senses came back late

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pia nahisi kuwa huyo mlipuaji wa kujitolea mhanga ni mwanamke(mkewe mmoja wa hao magaidi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…