Video of the Day imepiga Diamond 10-0 lakini hautaskia wakenya wakiwika

Sammuel999

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
3,481
Reaction score
2,347
Phy Taboo[tabuu]



Helena -Third Hand music



Mlale Salama sasa
 
Phy Taboo[tabuu]



Helena -Third Hand music



Mlale Salama sasa
Uyu akaze amfikie rubby....
hii ngoma haijafikia ata chokoza ya avril ndio unamuwaza mond kabsa upo serious hv?
 
Helena[emoji344][emoji445] vijana wako serious at their level
 
Wimbo wa kawaida sana huu kitu ambacho diamond anawazid wenzake ile test ya kuchanganya test za kiafrika. Sasa hivi test zimehama toka USA mpaka Latinos na Africa. Ukiangalia miaka ya karibuni hakuna single ambazo zimetokaa zenye test ya west zikawin kivile. Akitokea MTU ambaye kwa upande wa Kenya wa kumix flavor za kitraditional kama akamba dance na the like akaweka flavor za kinaija kidogo ukaja weka the Congo, mbona mko juu coz kweny mziki mnafundishwa toka LA popo mambo ya akayamba si mchezo, wakat kwetu hakuna hizo mambo
 
Unafananisha upuuzi wako n Diamond Platnumz? Una akili ww?
 
Phy Taboo[tabuu]



Helena -Third Hand music



Mlale Salama sasa
Hamna kitu hapo diamond level nyingine kabisa hakuna artist kama simba east and central africa,hata kwa king kiba bado sanaa wasanii wa kenya,labda ruby lakin kwa mbalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…