CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
==
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya CCM , Jijini Dodoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ndio chamaNaam chama dume hakina mbadala
View attachment 3266153
==
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya CCM , Jijini Dodoma.
Vikao vya makondoo wakijinyenyekeza kwenye vyeo.View attachment 3266153
==
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya CCM , Jijini Dodoma.
Hatari na nusuAlafu aje chadema anajinasibu, tutawashangaza... nyokooookooo.
Ccm daima Samia mitano tenaView attachment 3266153
==
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya CCM , Jijini Dodoma.
Ccm wote wendawazimu, yaani badala ya kueleza wananchi mipango waliyo nayo ya kutatuwa kero za wenyenchi wananchi . wao wanapost video ya nyimba za machawa wao wakisifia na kusimanga wapizani kama vile wapizani wao sio wananchi.View attachment 3266153
==
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya CCM , Jijini Dodoma.
NdioNdio wakaamua kununua umeme kutoka nje kwa mikoa ya kaskazini
Unawaona wanakaa kwa kucheka na kufurahi ila hawawezi kuachiana maji mezani. Akiyaacha akirudi hanywi tenaView attachment 3266153
==
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya CCM , Jijini Dodoma.
Hata sisi tungekuwa na pesa za serikali tungefanya vikao vizuri Kuliko vyenuView attachment 3266153
==
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya CCM , Jijini Dodoma.