Video: Pep Guardiola akasirika kufuatwa nyuma na mwafrika akiendesha Baiskeli

Alimuondoa Etoo kisha akamleta Ibrahimovic, akamuondoa kitasa Yaya Toure kisha akamuweka mrembo Sergio Bisquets. Pep ziliiva na Keita tu yule wa Mali.
 
Yaani huyo Mmatumbi kama taahira eti "i just want a picture bro" mtu hujui ana stress gani unamkimbilia kutaka picha kilazima bila hata kuomba.... Mashabiki mnatakiwa mjue hao Watu maarufu ni Binaadam pia, wanahisia kama nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo
 
Riyad Mahrez ni mzungu?
 
Mkuu hiyo accent ndio ya wenye lugha yao....waingereza ndio wana accent hiyo
 
Usiku wa manane halafu mtu anakufuata kwa nyuma sio poa, hata mimi ninge mind, kuna vibaka na majambazi usalama muhimu.
 
Hapa suala sio kupenda au kuchukia waafrika, usalama kwanza ukizingatia muda wa tukio.
 
Nimeangalia video hiyo nikasikitika sana.Ndio maana miafrika tunaitwa nyani kwa ujinga kama huu.
Ina maana hajui kuwa jamaa ana chukia watu weusi?
Jinga sana linapaswa kutandikwa viboko.Kuna faida gani kupiga picha na Gurdiola hadi ufanye upuuzi kama huo?
 
Pep siyo mwafrika n catalan.

Ila naye ni mtu maarufu na tajiri kuna haja gani ya kuweka maisha yako hatarini kwa kuendesha baiskeli usiku wa manane bila walinzi.

Huyo nigger angemnyuka hata konzi moja tu.

Angemkandamiza konzi la upara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…