Wanaitwa Adult actress professionalKama ka porn star fulani...
Ni ka bongo.
Mi mwenyewe nikimaliza uzi naelekea hukohuko, namalizia uzi kutaka kujua kama kunasehemu wameandika urai wakeMuda wake wa kupata pesa ndiyo huu..atumike ipasavyo.
Naelekea youtube kuthibitisha yasemwayo..nitarudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nyimbo sikuikubali lkn du hatari.
View attachment 1372970
View attachment 1372972
View attachment 1372973
Itunes huko hela tupu,sisi acha tukimbizane Youtube.
Wanafanana sema Ebi kaathiriwa na background (ukuaji) ya utotoni.Mbona kama kaebitoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]au makengeza yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
ww ni jinsia gani?Kwan nimekuletea wewe , ebu nitolee njaa zako mie mxieew mwanaizaya usiyekua na Haya , sura kavu kama kwapa la mjusi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nami nimeona hivyo hivyoMbona anafanana na Kale ka mamiloox ka Wewe mkakaa naomba uniroge(Ebitoke)?
Dizain huyu wa jeje kaiga kucheza Pia kwa mbali Simbaaaaa kapita kwenye joroooKuna yule wa joro ya wizkid, yule dada anajua kujiachia hadi basi.
Sent using Jamii Forums mobile app