Video: Rais Joe Biden aonekana akisinzia kwenye mkutano huko Angola

Video: Rais Joe Biden aonekana akisinzia kwenye mkutano huko Angola

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Rais wa Marekani Joe Biden amefanya ziara ya kwanza Afrika mapema wiki hii kwenye nchi ya Angola mabapo huko amekutana na viongozi wa Afrika kujadili miradi ya kimaendeleo kwenye nchi hizo.

Katika kipande cha picha kilichochapishwa na gazeti la The Telegraph la Uingereza, Biden anaonekana akifumba macho akiwa kwenye mkutano huo jambo ambalo limezua mijadala kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

 
Huyo babu ahanganika na kutaka kuacha legacy yake ya mradi wa Lobito.
 
Huyo babu ahanganika na kutaka kuacha legacy yake ya mradi wa Lobito.
Kule kwake kaacha watu wanazozana kuusu atua yake y kumfutia Mashtaka mtoto wake pekee w kiume. Alipofuta tu ile kesi akatoka mbio kuja Africa unaweza sema alipnga kweli trip y kuja Afrika lkn alipanga pia kuitumia kimkakat anajua uko nyumban watu awajamuelewa. Kajipa time aje Afrika kupoteza muda watu wasaau. Lkn zaid ingekuwa awajapoteza uchaguzi au uchaguzi bado asingefanya alichofanya aibu kwa USA.
 
Kwa mujibu wa chawa wa chama tawala tanzania,Huyu mzee anatafakari
 
Huyo mzee si inafahamika vyema kwamba anaumwa na ndio maana hakuweza kutetea tena kiti chake.
 
Back
Top Bottom