Huyu sporah huwa ni nani? Naona anaboronga kizungu 11:12 anamuuliza hukua na confident mpka ukaanza kutumia madawa. Wa nn tusitumie kiswahili tu wajameni? Wacha umbumbumbu kuwa ukiandika ama kuongea kizungu unakuwa na hadhi ya juu!
Ray c kajibu vizuri sana
Big up ray c kwa kuliacha teja la nako 2 nako sijui power window au rim za dimpoz(fid q).