ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
GT mrangi njoo uwaone huku wanavyorusha mikono angani.My Take
CCM Ina Hazina za kutosha
View: https://www.instagram.com/reel/DGkiQDCMcev/?igsh=MTdtcGlmcXFkMTdwNw==
Mkuu wa Mkoa anapata wapi changamoto za kutatua wakaki chini yake kuna DC na DED ambao kila Leo wapo na wananchi?! Kwa hiyo hao hawana uwezo wa kutatua changamoto hata moja?! Kuna haja gani ya kuwa na maDC na MaDED kama wao pia ni changamoto?My Take
CCM Ina Hazina za kutosha
View: https://www.instagram.com/reel/DGkiQDCMcev/?igsh=MTdtcGlmcXFkMTdwNw==
Ndio hao wanaoletwa baada ya kukusanywa na magari tu. Vyeo vya kikada vya kutafuna tu kodi za wananchi. Aisee, mnajua kweli kutafuna kodi za wananchi.My Take
CCM Ina Hazina za kutosha
View: https://www.instagram.com/reel/DGkiQDCMcev/?igsh=MTdtcGlmcXFkMTdwNw==
Yule ni takataka no one pays attention to him labda nyie Chadomo.Hazina yenu kubwa ya uongozi mliyonayo ccm kwa sasa ni Luhaga Mpina. Wengine hamna kitu,ni uchawa tu ndio umewajaa.
Jikite kwenye hojaUmelogwa kibwege sana kwa sababu ya njaa
Subiria kichapo Oktoba 2025Ndio hao wanaoletwa baada ya kukusanywa na magari tu. Vyeo vya kikada vya kutafuna tu kodi za wananchi. Aisee, mnajua kweli kutafuna kodi za wananchi.
Bila shaka ni baada ya kuwapelekea moto Chadomo ππSiku hizi hata takataka zinaitwa nyota?
Huwa tunawaona Chadomo Mitaa ya Bariadi ππKabla ya kufutwa upinzani Simiyu, tueleze kwanza ni lini uliwahi kusema kuna upinzani huko
Wapuuzi lazima washikishwe adabuHawa wahuni ndio waliibuliwa na Magufuli wakawa wanajichukulia sheria mikononi, naamini ipo siku waliofanyiwa hivi watapata haki yao kwa udhalilishaji waliofanyiwa.
Mhuni kama huyu hawezi kuwa mwanamageuzi na hawezi kufuta upinzani ambao hata Magufuli mwenyewe alijifia bila kuua.
View attachment 3252329