Nimejifunza kitu thanks
Na kweli...nadhani hajafanya just for fun...!
Tupe faida na sisi farkhina
wengi walimdharau na kuona si chochote. baada ya kuvua ile sura bandia kila mtu anampigia makofi wanamzonga. Mtoto alistahili ile zawadi ya mpira, hakujali kucheza na "mjinga"
Jingine japo halipo wazi sana...tunafanya mambo mengi kwa ajili ya watu maarufu(kuwashabikia n.k)...lakini tunashindwa kugawa muda kidogo japo kujumuika na hao ombaomba...(hata kwa kuwaonesha upendo tu....)Umeona eeeh yaani ombaomba mwenye kipaji kadharauliwa tu lakini maajabu ni kwamba watoto hawana kitu ubaguzi katika nafsi zao labda wajazwe chuki...
Nimejifunza kitu thanks