VIDEO: Ronaldo atupa kipaza sauti cha mwandishi wa habari ziwani

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253
Ni kabla ya mechi ya Euro 2016 ambapo Ureno ilikutana na Hungary amabapo mwandishi wa habari alimfuata Ronaldo kumhoji kuhusu mechi hiyo lakini Ronaldo alichukua kipaza sauti chake na kukitupa ziwani.

Du! Sijui kama hawa waandishi watathubutu tena kumrudia huyu jamaa, hivi ingekuwa ni hapa bongo waandishi si wangesusia kumhoji?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…