Amemtelekeza mama ziarani!!?Mfanyabishara, mwanasiasa nguli na swahiba wa karibu wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa amewasili nyumbani kwa kiongozi huyo Ngarash wilayani Monduli mkoani Arusha kushiriki shughuli za kuaga mwili wa Lowassa zinazoendelea nyumbani kwake leo Ijumaa.
Msianze kumchafua tu maana Nyie Ufipa kwenye eneo la Uchafuzi ni mabingwa 😄"Bilionea aliyekuwa nje ya nchi kwa shughuli za kitaifa"
Bado naendelea kuyatafakari hayo maneno bwashee .
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ya Rostam au ya Wilaya ya Monduli?😂Tuwekee na Picha.
Weka picha tumuone Alfa na omegaMbunge Mstaafu wa Igunga Bilionea Rostam Aziz aliyekuwa Nje ya Nchi kwa shughuli za Kitaifa amewasili nchini na Moja kwa Moja amekwenda Monduli kumzika ndugu yake Edward Lowasa
Rostam amepokelewa na Wanafamilia na Moja kwa Moja ameanza Majukumu ya Msibani nyumbani kwa Lowassa
Credit: Mwanahalisi Digital
Ni mtumishi wa umma huyu! Ndo maana kila msafara wa MH rais yumo."Bilionea aliyekuwa nje ya nchi kwa shughuli za kitaifa"
Bado naendelea kuyatafakari hayo maneno bwashee .
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kumbe uko km Mimi. Nimewaza sana, hivi ana cheo/nafasi gani serikalini hadi kwenda nje ya nchi kufanya kazi za kitaifa."Bilionea aliyekuwa nje ya nchi kwa shughuli za kitaifa"
Bado naendelea kuyatafakari hayo maneno bwashee .
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app