Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Ali kiba atajuta kufanya mahojiano na yule Mtangazaji. watangazaji wa Kenya hawatakagi ujinga wao wanaijua kazi yao.

Kiba ametema pumba zakeee afu wamemaliza na Sallam kauwa kila kitu sijui kiba wataenda kuclear wapi tena hiii daah
 
Moja ya matatizo yanayomkabili Kiba, ni poor management aliyonayo, sioni kama inafanya kazi yake ipasavyo, na mfano mzuri ni kwenye issue hii, walipaswa wao kama management wawe wameshaomba radhi kwa niaba ya msanii wao muda mrefu tuu kabla haya yote hayajawa wazi, sasa hizi si ni aibu.
 
Kwa jinsi anavyo ongea inaonekana kabisa yuko kishari, huyu meneja amehusika kabisa mi nahisi kwa kweli



Kiba analazimisha eti apande Wizkid kwanza, huyu Kiba Level yake haijui kabisaa.Bora walivyo mzimia mic ndio atajua.
 
Swala sio pesa kurudi point ya msingi lengo la ile interview aliefanya kiba na kutoa malalamiko halijatimia, zaidi ishu ime backfire kwake mwenyewe
Kama pesa imeingia.bado amepata faida.angerudisha pesa hapo ingekuwa tatizo.
 
Hapa sasa nimepata Picha ilivyokua,

Yawezekana Kiba alitaka akishuka yeye apande Chriss Brown ili kujenga jina zaidi. Lakini ratiba haikua yake, na ule muda uliotumika katika ubishani kua nani aanze kati ya Kiba na Wizkid ndio muda wa Kiba ule, so kama aligoma kupanda that time basi alikua ndio anajipotezea muda mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…