Bado tu hujawa mzungu. Unangoja nini?Sawa
Waache waendelee kujifunza kingereza sisi tupige madeal. ..pesa pesa kama wachina. ..wanawakopesha mpaka wakingereza wenyewe. ....waache walale milele na kingereza chao tuone kama kitaleta mkate mezani. ..lol!Nenda Uingereza ukawe Muingereza uridhike. Tuache na lugha yetu tukufu ya Kiswahili.
Mbona fresh tu. Lakin si Ujumbe unafika. Lean we huoni wadhungu wakija huku wanavyo patashida ya kuongea kiswahili mpaka wanatukana matusiHizi video zinaonesha kiingereza kilivyosafiri na meli na bahadhi ya nahau zikasahaulika baharini ebu ona
1.
2.ngassa
3.mwalimu wa diamond
4.
5.
Sawa
mbona umekua mpole lol
Na wewe ni kiazi...Hizi video zinaonesha kiingereza kilivyosafiri na meli na bahadhi ya nahau zikasahaulika baharini ebu ona
1.
2.ngassa
3.mwalimu wa diamond
4.
5.