MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka ka taifa kanaujinga mwingi hizi tabiri tunataka tuone nguvu kazi ktk uchumi taifa Liwe namaendelea nasio mambo ya kulambanalambana
Anaenda kuwa omba omba kama babu yake the late MatonyaKuna mambo hata kama unayajua na hayako sawa kukaa kimya kuna faida kubwa hasa kwa nchi zetu hizi ambapo alieko juu lazima amuumize wa chini. Leo atawakumbuka wale waliokua wakimwambia aache mqmbo hayo
Wale wa Quba wamemuelewa
Hakusoma alama za nyakati Mungu amsaidie japo aliumiza wengine kwa kauli zakeAnaenda kuwa omba omba kama babu yake the late Matonya
Hahaha[emoji16] Kumbe Sufian alikuwa sahihi
BLADIFAKEN ETI HUYU ASAMEHEWE, STUPID HAO WANAOSEMA ASAMEHEWE, HUYU APEWE MSHAHARA WA KAULI ZAKE NA MATENDO YAKE
Walijisahau, hiki nacho kiko wapi siku hizi
Duh!
Pamoja sana mkuuasante sana MIXOLOGIST