Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na Video ya muhenga akitoa ushauri kwa vijana kuhusu Mke wa kuoa.
Muhenga huyu moja ya sharti alilotupa vijana ni kutooa Mwanamke mwenye Vidole vilivyotanuka miguuni.
ANGALI VIDEO HAPA
View attachment 2895894
Je ni kweli wanawake wenye Vidole vilivyotanuka wana matatizo?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]