Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
We kilichokupeleka ukarekodi ninini? Kwani kutingisha matako ni tatizo? Mbona wewe simu yako imejaa picha na video za ngono hulalamiki?USIKU WA KISENGELI! HIVI VIGODOLO VIGODORO WATU KUTIKISA MATAKO SERIKALI ITAKATAZA LINI?
Kwa kweli yaani.Dah! Hichi kiuno si cha kawaida hata kidogo. 😛😛😛
Wema maisha yake ni maigizo tosha..Deile yuko location..Hao wanaokatika ni mashabiki waliojilipia viingilio?
Well, at last wema nae ajipatie kipato halali manake Mie huwa sielewi anafanya nini mjini. Nilifikiri ni muigizaji lakini filamu ya mwisho sijui aliitoa lini
Kwa kweli.......kukiona tu ni burudani tosha......ila kila kitu ni mazoezi.....hapo ukiamua tu unakuwa na kiuno kama hicho.Dah! Hichi kiuno si cha kawaida hata kidogo. 😛😛😛
Ndio tuje tutoe kizazi cha kuendesha viwanda vya Tanzania...... Over my dead body.Hahahaa....haya mambo sisi wahalisia wa mambo tulishayasema siku nyingi sana.
Serikali haiwezi kuchunga maadili ya jamii.
Utapiga marufuku sijui video ya Snura isionyeshwe kwenye runinga lakini kwa wakati huo huo mambo yaendeleayo huku mitaani na ambayo wakubwa kwa wadogo wanaweza kuyaona, yanaendelea kama kawaida.
Halafu hizi habari za maadili zimejaa unafiki na umbuni [ostrich mentality] tu.
AmenHakika...
We mwenzio kapiga pesa. Hachagui kazi. 10,000×7500. We bado unazungumzia premia ligi. Kampa msaga sumu 2m na Snura 2.5m muna love 2m. Wengine 5 1m. 5m. Ukumbi tarumbeta matangazo na vingine 10m. 65.5m yiko mfukoni kwa siku moja akizunguka mikoa yote pata picha . Mjini msingi kiunoKweli sasa Wema kaishiwa..katoka ligi ya Premium sasa anacheza ligi ligi daraja la tatu Kanda