Video: Viongozi wapenda madaraka huwaogopa wenye akili (talents) kwa hofu kuwa watachukua nafasi zao. Hutumia kila fitna kuwapoteza badala kuwatumia

Video: Viongozi wapenda madaraka huwaogopa wenye akili (talents) kwa hofu kuwa watachukua nafasi zao. Hutumia kila fitna kuwapoteza badala kuwatumia

Uzima Tele

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2023
Posts
1,270
Reaction score
2,822


Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.
 
Ana akili sana huyu Mzee, ndiye mchungaji pekee nliemuelewa kwa mwaka wa dini ja siasa 2024.
 
View attachment 3030882

Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.
Yaani baraza la mawaziri wameshindwa kuvaa viatu vya Yusuf licha ya PhD za baadhi Yao, na 1st class degreee
 
View attachment 3030882

Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.
Yupo sahihi!
 
Kabisa
Yusuf hakumpindua Farao.......
Tunaongozwa na wajinga.....wenye akili wana njia nyingi za kuishi....hivyo hawana muda kutolea macho/kusubiri/kupigania nafasi za uongozi..


...
 
View attachment 3030882

Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.



Badala ya kutafuta kuwa nao karibu na kufanya kazi badala yake wanawaona kuwa threat 😳
 
View attachment 3030882

Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.


Mfumo wa upatikaji wa Viongozi toka juu hadi chini inahitajika maboresho.

Wengi uwezo wa kuwa Viongozi Hawana lakini hufanya lobbing ili wapate posho na tamaa ya ukubwa.
 
View attachment 3030882

Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.


Fikiria mtu anakuwa kiongozi Halafu hataki kuulizwa maswali.
Hataki kuhojiwa.
Wewe umekuwa kiongozi wa watu au wanyama ?
Kama hamtaki kuulizwa acheni kuwa Viongozi wa watu 😒😒
Jibu hoja kwa ufasaha. Unataka kuongoza watu kama kwa remote?
Unataka hewala hewala kama enzi za utumwa ,
Hamtaki uhuru wa fikra ?
Taifa la namna gani ?
 
View attachment 3030882

Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.

Mimi nyumbani kwangu napenda kuwa challenged always ,
Kuanzia house girl nawafanya wawe na fikra huru wasiwe na nidhamu ya woga ,
Nikikosea wananiambia “ wewe ndio kuifanya vile na vile” Kisha nawami a msamaha ,
Watoto wangu hivyo hivyo,
Ukimuomba mtoto msamaha unamfundisha aishi hivyo na watu wengine kwenye jamii na itampa kibali, kupendwa na kuaminiwa maisha yake yote.
 
sasa msukumua yue wa darasa la saba unataka akaongee nini na warabu zaidi ya kisifia na kupewa v8
 
dsafdsfsdggrege.jpg
 
View attachment 3030882

Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana.

Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya madaraka ya kisiasa, wao huwaona kama ni tishio (threat) la viti vyao.

Hivyo hufanya kila aina ya fitna ili kuwaweka mbali watu hawa wakidhani kuwa hiyo ndiyo salama ya nafasi zao hizo za kisiasa...

Bahati mbaya wasichokijuia ni kuwa, mara nyingi hawa watu talented huwa hawana haja na permanent positions. Mungu huwaweka mahali fulani kwa kusudi maalumu na la muda maalumu tu.

Anatolea mfano mfano wa Yusufu aliyekuwa na karama ya kipekee na kutumiwa vyema na Farao wa Misri ya Kale kuliepusha taifa zima ktk baa la njaa.

Farao hakumwogopa Yusufu. Alimvuta karibu na kutumia ujuzi na maarifa yake kuliokoa taifa lote..

Huwezi kuongoza taifa la watu wenye njaa.
cc: Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nnauye
 
Back
Top Bottom