kitali JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 5,204 Reaction score 8,315 Jun 26, 2023 #2 Hawa jamaa ndio wanaume aisee. Wana Roho ya paka nawakubali sana. Kwa hiyo nguvu aliyotumia mrusi na jins wasivyokata tamaa ni nouma.
Hawa jamaa ndio wanaume aisee. Wana Roho ya paka nawakubali sana. Kwa hiyo nguvu aliyotumia mrusi na jins wasivyokata tamaa ni nouma.
Chibolo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 5,181 Reaction score 6,813 Jun 26, 2023 #3 Watamalizwa
kitali JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 5,204 Reaction score 8,315 Jun 26, 2023 #4 Chibolo said: Watamalizwa Click to expand... Akili za mtu mdhaifu. Wenzio wameshakubali yote lakin sio kuiachia nchi yao
Chibolo said: Watamalizwa Click to expand... Akili za mtu mdhaifu. Wenzio wameshakubali yote lakin sio kuiachia nchi yao
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,111 Reaction score 53,092 Jun 26, 2023 #5 kitali said: Hawa jamaa ndio wanaume aisee. Wana Roho ya paka nawakubali sana. Kwa hiyo nguvu aliyotumia mrusi na jins wasivyokata tamaa ni nouma. Click to expand...
kitali said: Hawa jamaa ndio wanaume aisee. Wana Roho ya paka nawakubali sana. Kwa hiyo nguvu aliyotumia mrusi na jins wasivyokata tamaa ni nouma. Click to expand...
kitali JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 5,204 Reaction score 8,315 Jun 26, 2023 #6 Mzee wa kupambania said: View attachment 2669027 Click to expand... It doesn't matter bro wanaume hao sio hapa bandari inauzwa nyie mnacheza vigodoro. Hiv unajua Vietnam Marekan aliua karibu robo ya watu lakin hawakukubali mpaka wamarekan wakanyoosha mikono juu.
Mzee wa kupambania said: View attachment 2669027 Click to expand... It doesn't matter bro wanaume hao sio hapa bandari inauzwa nyie mnacheza vigodoro. Hiv unajua Vietnam Marekan aliua karibu robo ya watu lakin hawakukubali mpaka wamarekan wakanyoosha mikono juu.