Video: Wanajeshi wa Urusi wamzomea jenerali wao

Video: Wanajeshi wa Urusi wamzomea jenerali wao

.... anaeweza kututafsiria mawili matatu itakuwa poa sana. Wanasemaje hao watumwa wa fashisti?
Teh teh teh 😂😂😂 umenikumbusha wale Warusi weusi waliokuwa wakitushushia makala na maoni yao yameandikwa lugha ya kirusi humu wakati Vita vipo mwanzoni teh teh 😂😂😂

Jamaa wana mikwara kweli kweli..Ila wapo kimya mno wakati huu ambapo tunahitaji wakalimani.
MK254 kp kipanya44 Yoda Jackal
 
Teh teh teh [emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha wale Warusi weusi waliokuwa wakitushushia makala na maoni yao yameandikwa lugha ya kirusi humu wakati Vita vipo mwanzoni teh teh [emoji23][emoji23][emoji23]

Jamaa wana mikwara kweli kweli..Ila wapo kimya mno wakati huu ambapo tunahitaji wakalimani.
MK254 kp kipanya44 Yoda Jackal
Na walijua kututesa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana hasira sana kwa ambavyo wanaendelea kuuawa na mpaka sasa haieleweki nini mipango ya nchi yao na nini haswa wanachofia...

Ila nimesikia kuna nchi watu watakuw mabarafu mda sio mrefu.
 
Teh teh teh [emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha wale Warusi weusi waliokuwa wakitushushia makala na maoni yao yameandikwa lugha ya kirusi humu wakati Vita vipo mwanzoni teh teh [emoji23][emoji23][emoji23]

Jamaa wana mikwara kweli kweli..Ila wapo kimya mno wakati huu ambapo tunahitaji wakalimani.
MK254 kp kipanya44 Yoda Jackal
Walianza kwa mbwembe Sana wakimuona Putin kama mungu mtu..,spid Yao ilianza kupungua taratibu baada ya Ukraine kufanya counteroffensive huko khakivu iliyowaacha wengi mdomo wazi..,huku warusi wakiacha silaha kibao.. kuanzia wakati huo walianza kujiengua taratibu mmoja baada ya mwingine.., mpaka Sasa bahadhi ya wamelikimbia jukwaa kabisa [emoji848]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Ila nimesikia kuna nchi watu watakuw mabarafu mda sio mrefu.

Ndio maana huwa nasema hiyo dini yenu huwafundisha ushetani tu, mnalalamika nawaonea, furaha yenu ni kusikia wananchi wasio na hatia wamekufa kwa barafu, Mrusi ameshindwa kupambana kijeshi amekwenda kupiga miundo mbinu ya kutoa huduma kwa wananchi, hata hivyo hayo mabomu yanadunguliwa hadi raha....na huko huko frontline wanauawa kama senene.
 
Ndio maana huwa nasema hiyo dini yenu huwafundisha ushetani tu, mnalalamika nawaonea, furaha yenu ni kusikia wananchi wasio na hatia wamekufa kwa barafu, Mrusi ameshindwa kupambana kijeshi amekwenda kupiga miundo mbinu ya kutoa huduma kwa wananchi, hata hivyo hayo mabomu yanadunguliwa hadi raha....na huko huko frontline wanauawa kama senene.
Naona namna mabomu yanavyodunguliwa na miundombinu.sehemu pekee ambayo Ukraine wanamerudisha Warusi wameondoka wenyewe.
 
Hicho kitu hakiweźi kutokea kamwe. Huo ni sawa na uasi . Jeshi siyo kikundi cha vibaka kwa wale waliopita mgambo tu wanajua nidhamu iliopo jeshini. Acheni maneno ya vijiweni
 
Back
Top Bottom