Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
wengine hawa hapaWananchi wa kata ya Mbwambo Wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro wameungana na viongozi wao kupinga jina mgombea Udiwani lililorudishwa na Chama Cha Mapinduzi
Wananchi hao wakiwa na mabango mbali mbali ya kuwasihi viongozi wa CCM Taifa kuingilia kati sakata hilo wamemtaka Rais Magufuli aingilie kati.
Jina lililorudishwa alikuwa mshindi wa pili alipata kura 83 dhidi ya 117 za aliekuwa mshindi.
Diwani huyo ambaye hatakiwi na wananchi ameongoza kata hiyo kwa miaka 15 mfululizo
Haya maamuzi toka juu, yatawapa faidi kubwa Sana upinzani.Sasa kwa kuwa hawakubaliani na maamuzi husika na kuona wamedharauliwa ndiyo na wao waonyeshe nguvu yao hivyo kuchagua upinzani.
Masikini ni mtu mbaya sana na wakukaa nae kwa akiliCccm wajifunze, kuwa watu kutoka tabaka la chini walitakapo lao hawaogopi chochote.
Hivi hawa hawajui CCM ya sasa ni mali ya mtu mmoja!!wengine hawa hapa
Tatizo la watani zangu ni ulimbukeni, kwani lazima diwani atokane na ccm? kama mtu wenu hakubaliki huko ccm si muangalie upande wa pili.Wananchi wa kata ya Mbwambo Wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro wameungana na viongozi wao kupinga jina mgombea Udiwani lililorudishwa na Chama Cha Mapinduzi
Wananchi hao wakiwa na mabango mbali mbali ya kuwasihi viongozi wa CCM Taifa kuingilia kati sakata hilo wamemtaka Rais Magufuli aingilie kati.
Jina lililorudishwa alikuwa mshindi wa pili alipata kura 83 dhidi ya 117 za aliekuwa mshindi.
Diwani huyo ambaye hatakiwi na wananchi ameongoza kata hiyo kwa miaka 15 mfululizo
Kazi imeanzaWananchi wa kata ya Mbwambo Wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro wameungana na viongozi wao kupinga jina mgombea Udiwani lililorudishwa na Chama Cha Mapinduzi
Wananchi hao wakiwa na mabango mbali mbali ya kuwasihi viongozi wa CCM Taifa kuingilia kati sakata hilo wamemtaka Rais Magufuli aingilie kati.
Jina lililorudishwa alikuwa mshindi wa pili alipata kura 83 dhidi ya 117 za aliekuwa mshindi.
Diwani huyo ambaye hatakiwi na wananchi ameongoza kata hiyo kwa miaka 15 mfululizo
Ninachokiona hapo kwa hali yoyote ile, iwe jina litarudi wanalotaka au libaki hilo hilo wapinzani wana 'kura za faida'.Sasa kwa kuwa hawakubaliani na maamuzi husika na kuona wamedharauliwa ndiyo na wao waonyeshe nguvu yao hivyo kuchagua upinzani.