upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Wakuu
Hivi wananchi wanarogwa na nani? kwanini haya mambo hufanyika kipindi cha wagombea wakiwa wanataka kurudi tena Bungeni na hatustukii hili kama ni kulaghaiwa tu!
==
Washiriki wa shindano la Kitila Jimbo Cup wakishindana kula mikate kwenye moja ya mchezo inayochezwa leo Feb 22.2025 kwenye uwanja wa Kinesi ambapo ilitanguliwa na mbio zilizoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Lazaro Twangea ambaye amemwakilisha Mbunge wa jimbo hilo Kitila Mkumbo ambaye ndie aliyeandaa mashindano hayo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hivi wananchi wanarogwa na nani? kwanini haya mambo hufanyika kipindi cha wagombea wakiwa wanataka kurudi tena Bungeni na hatustukii hili kama ni kulaghaiwa tu!
==
Washiriki wa shindano la Kitila Jimbo Cup wakishindana kula mikate kwenye moja ya mchezo inayochezwa leo Feb 22.2025 kwenye uwanja wa Kinesi ambapo ilitanguliwa na mbio zilizoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Lazaro Twangea ambaye amemwakilisha Mbunge wa jimbo hilo Kitila Mkumbo ambaye ndie aliyeandaa mashindano hayo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025