Pre GE2025 Video: Wananchi wakishindana kula Mikate kwenye Kitila Jimbo Cup

Pre GE2025 Video: Wananchi wakishindana kula Mikate kwenye Kitila Jimbo Cup

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Wakuu

Hivi wananchi wanarogwa na nani? kwanini haya mambo hufanyika kipindi cha wagombea wakiwa wanataka kurudi tena Bungeni na hatustukii hili kama ni kulaghaiwa tu!

==

Washiriki wa shindano la Kitila Jimbo Cup wakishindana kula mikate kwenye moja ya mchezo inayochezwa leo Feb 22.2025 kwenye uwanja wa Kinesi ambapo ilitanguliwa na mbio zilizoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Lazaro Twangea ambaye amemwakilisha Mbunge wa jimbo hilo Kitila Mkumbo ambaye ndie aliyeandaa mashindano hayo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Asilimia kubwa SANA ya Watanzania hawana hiyana na viongozi. Wao wakishapata nafasi ya kulala yaani kuishi kwenye nyumba ya urithi; imeisha hiyo.

Wao wakipata tu aftatu ya kula, wamemaliza.

Maswala mingine ya kuhusu siasa wao wanaona hayawahusu.
 
Asilimia kubwa SANA ya Watanzania hawana hiyana na viongozi. Wao wakishapata nafasi ya kulala yaani kuishi kwenye nyumba ya urithi; imeisha hiyo.

Wao wakipata tu aftatu ya kula, wamemaliza.

Maswala mingine ya kuhusu siasa wao wanaona hayawahusu.
Ndio jamii zetu zilipofikia, “kuridhika na hiyo hali nalo ni tatizo kubwa sana.
Wakati jamii zingine zikotafuta kuboresha wao wanakula mikate
 
Wakuu

Hivi wananchi wanarogwa na nani? kwanini haya mambo hufanyika kipindi cha wagombea wakiwa wanataka kurudi tena Bungeni na hatustukii hili kama ni kulaghaiwa tu!

==

Washiriki wa shindano la Kitila Jimbo Cup wakishindana kula mikate kwenye moja ya mchezo inayochezwa leo Feb 22.2025 kwenye uwanja wa Kinesi ambapo ilitanguliwa na mbio zilizoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Lazaro Twangea ambaye amemwakilisha Mbunge wa jimbo hilo Kitila Mkumbo ambaye ndie aliyeandaa mashindano hayo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Maamae kinachofuatia ni constipation kunya mavi magumu maamaee rinda zitapata shida sana maamaee
 
Asilimia kubwa SANA ya Watanzania hawana hiyana na viongozi. Wao wakishapata nafasi ya kulala yaani kuishi kwenye nyumba ya urithi; imeisha hiyo.

Wao wakipata tu aftatu ya kula, wamemaliza.

Maswala mingine ya kuhusu siasa wao wanaona hayawahusu.
Ni uoga mkuu, siasa zinaendeshwa kwa mkono wa chuma kwa namna fulani.
Kuwahishwa akhera ni jambo la mara moja na kama ujuavyo ushirikiano ni 0, ukichuma janga utakula na wa kwenu hivyo wengi wameamua kuipa kisogo siasa.
Na ni jambo linalofurahiwa na wanasiasa wengi na wanafanya juhudi kubwa ili watu waendelee kufatilia mambo yasiyo ya msingi.
 
Back
Top Bottom