Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni msigwa Peter hivyo hatukushangai. Mbona sioni kushangilia unakkuema? UmelogwaWakuu,
Huyu Katibu Mwenezi wa BAWACHA bila shaka alikuwa ni Team Mbowe,
Yaani kweye speech nzima kamtaja Mbowe tu, Lissu kamtaja mara moja tu tena huko mwishoni.
Lissu na kamati kuu CHADEMA kuweni makini sana huyu.
Huyu sio mwenzenu
Uliyesema wabangaizaji hawamtishi lkn wamemrudisha nyumbani kucheza na paka!!wewe ni msigwa Peter hivyo hatukushangai. Mbona sioni kushangilia unakkuema? Umelogwa
All in all, Lisu hakumtendea haki Mbowe kwa kumtukana wakati wa Kampeni. Mimi bado hilo nalikemea maka mwisho wa dunia.
Bilionea acheze na paka?wamemrudisha nyumbani kucheza na paka!!
Wakuu,
Huyu Katibu Mwenezi wa BAWACHA bila shaka alikuwa ni Team Mbowe,
Yaani kweye speech nzima kamtaja Mbowe tu, Lissu kamtaja mara moja tu tena huko mwishoni.
Lissu na kamati kuu CHADEMA kuweni makini sana huyu.
Huyu sio mwenzenu
wewe ni msigwa Peter hivyo hatukushangai. Mbona sioni kushangilia unakkuema? Umelogwa
All in all, Lisu hakumtendea haki Mbowe kwa kumtukana wakati wa Kampeni. Mimi bado hilo nalikemea maka mwisho wa dunia.
nitakujibu usilalamike.Mkuu umekula kweli leo?
Mbona una hasira sana?