Video: Watoa Ushuhuda wa Nafuu baada ya kupata Kikombe Cha Mchg. Ambi Mwasapile

Video: Watoa Ushuhuda wa Nafuu baada ya kupata Kikombe Cha Mchg. Ambi Mwasapile

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
  • Maumivu yatoweka
  • hamu ya chakula imeongezeka
  • nguvu zinarudi kwa kasi mwilini
  • wamejitolea kufuatiliwa na taasisi za serikali kuona manufaa ya kikombe cha babu

Video Hisani ya Tangibovu wa YOUTUBE: Habari za Tanzania via Kennedytz (march 28, 2011)

Taarifa ya Taasisi za serikali ya Tanzania Muhimbili, NIMR na TFDA zinasema dawa ya Mugarika ya Mchg. Ambi Mwasapila ni salama kwa matumzi ya binadamu na inafuatilia kuona matokeo ya kama inatibu magonjwa sugu na kumpatia hati miliki ya dawa Mchg. Ambi Mwasapile:



Video kwa hisani ya Tangibovu wa YOUTUBE: Habari za Tanzania via Ch 10 10x264 28/03/2011
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom