labda baba sabrina,hiyo ni kama kusema kuna salaki mtuWapo sana
Me ninayo andikaSawa Mkuu ngoja nisake Namba ya Wema [emoji16]
MtOto wa kiislam hapaswi kuonyesha mwili namna ileIla wema mzuri na mtamu tuache utani jamani
Yupo maeneo ambayo inampasa avae hivyo....kwani ulitaka avae Baibui kwenye swimming poolMtOto wa kiislam hapaswi kuonyesha mwili namna ile
Kabisaaa!!!Mtanzania Mpe Picha tu...Stori atamalizia mwenyewe
Ahaaa dah nimecheka kwa herufi kubwa .Mtanzania Mpe Picha tu...Stori atamalizia mwenyewe