VIDEO YA KONGAMANO LA KATIBA CHUO KIKUU MLIMANI Dar-es-Salaam

VIDEO YA KONGAMANO LA KATIBA CHUO KIKUU MLIMANI Dar-es-Salaam

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Michango ya mawazo wa waliohudhuria kongamano hili lililoratibiwa na Prof. Issa Shivji, Ndg.Jenerali Ulimwengu na Dr. Kitila Mkumbo ktk Ukumbi wa Nkrumah. Video kwa hisani ya Jamvini wa Youtube.
 
Last edited by a moderator:
I can see the point, Mnyika is trying to make. Mawazo yake si ya kupuuza kwa kweli!
 
Kwani nilazima avae uniform ya chama chake hata ktk kongomano la Katiba ya Watz? ukereketwa wa chama unamahala pake jamani! hata hivyo Mnyika ametoa mawazo yake na huenda yuko sawa ila msaada wa Wanasheria waliobobea kama Isa Shivji ktk kongomano hilo tunaomba mwenye video yao kama ipo!
 
asante mkuu ongeza basi kidogo zingine.
 
Go Mnyika go!!
Your arguments are pragmatic and therefore legitimate..
 
Unaweza kuturushia Video nzima? Kata hata vipande 3. Please!
 
Afadhali kuvunjwa vyama vyote vya siasa; vitasajiliwa mara baada ya katiba mpya. Ili kuweza kujenga maadili yasiyojali maslahi ya vyama vya siasa bali yanayojali maslahi ya watanzania wote
 
Afadhali kuvunjwa vyama vyote vya siasa; vitasajiliwa mara baada ya katiba mpya. Ili kuweza kujenga maadili yasiyojali maslahi ya vyama vya siasa bali yanayojali maslahi ya watanzania wote

Hili nalo neno! Ukianza na chama tawala, vyama vyote usanii mtupu. Itabidi hii hoja tuijenga barabara.
 
Huu ndio uzuri wa kuwa na jamvi hili.
Nicely done men and women
 
mkuu hii clip ina akili anayotabiri mnyika yanaweza tokea tena kama utani tuu.Big Up mkuuu
 
This Great Discussion. I Think This Route is So Important and As We See People are Hungry for New Constitution. Majority of Tanzanians Now Know We Can Solve Our Problems Without New Constitution. Let's the Work Start...
 
Huyo mama amenisikitisha sana..
Serious issues, yeye anachekacheka tuu, wala hana concentration yoyote wakati Jenerali anampa facts. This is pathetic.
Hivi wanatumia vigezo gani kuteua hawa viumbe??..
Niambieni tu waTz wenzangu..I'm really confused here!!
 
wewe ulikua unategemea mama celina atafanya nini?huyo mama hiyo nafasi wamemtoa kafara,awe makini watanzania wanataka katiba na longolongo na kucheka cheka kwa kombani kisa amekaa na prof.
 
Back
Top Bottom