Kwani nilazima avae uniform ya chama chake hata ktk kongomano la Katiba ya Watz? ukereketwa wa chama unamahala pake jamani! hata hivyo Mnyika ametoa mawazo yake na huenda yuko sawa ila msaada wa Wanasheria waliobobea kama Isa Shivji ktk kongomano hilo tunaomba mwenye video yao kama ipo!