Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Samcezar

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
13,095
Reaction score
22,731
Kuna video imesambaa sana kwenye social network especially Twitter. Ambayo kwa mtu yoyote akiitazama kwakweli itamharibia siku.

Katika video hiyo fupi ya dakika kadhaa inamuonyesha mwanadada wa kiafrika akiwa chini ya makalio ya mwanaume mwenye asili ya kiarabu, akipokea gogo (haja kubwa) mithiri ya mtu aliyebombani amekinga mdomo kupokea maji.

Video hiyo mbali na kuonyesha uchafu huo inadhihirisha ni namna gani dada zetu wanadhalilishwa utu wao na kushushwa hadhi na jamii ya watu wa Arabuni.

Kwa mujibu wa wachangiaji wa comments, inasemekana video hiyo imerekodiwa huko Dubai na inasemekana ama kusadikika kuwa wadada hao wamesheriki video hiyo kwa malipo ya kiasi cha fedha ikiwa namna yao ya kujitafutia kipato na fedha kubwa kwa namna ambayo wao wameona ni rahisi.

Nategemea taasisi, asasi na hata mamlaka za kiserikali popote pale hapa duniani zitafuatilia kwa kina ili ukweli wa kina uweze kubainika juu ya video hiyo na wahusika walioshiriki na kushirikishwa waweze kuhojiwa na kubaini haya mambo hutokea katika mazingira gani na makubaliano gani.

Lakini pia wahusika kuchukuliwa hatua kwa kukiuka haki za kibinadamu kwa kumlisha mwanadamu mwingine kinyesi chake bila kuzingatia madhara ya kiafya ambayo yangeweza kumkuta muhusika au wale wanaomzunguka.

Natamani kuiweka hapa ila sina uhakika kama sheria za JF zinanipa kibali kufanya hivyo.
 
Mkuu, ndo dunia inapoelekea huko- Habari ya uafrika weka pembeni- sababu hata wazungu, waarabu, wachina, wakorea, wahindi nk. wana dada zao huko 🤣 🤣 🤣 . Maandiko lazima yatimie- Ni ngumu sana kumpangia mwanadamu mwenzio nn cha kufanya.
 
Tusiwaze sana na kuwekeza sana kwenye dunia.

Hela zisitufanye tukawa vichaa kiasi cha kwenda speed na kuuacha ubinadamu wetu.

Tusitamani vikubwa sana bali tujitahidi kuishi tulivyo kwa vile ulivyobarikiwa wakati huo huku ukiweka mikakati yako yakwenda mbele kadili utakavyibarikiwa.
 
Tabia ya kuuza uchi huwaharibu sana ndugu zetu maana hujikuta wanaishi kwenye ulimwengu mwingine na kutumika kama wapagazi kwenye ulimwengu huo, kifupi kwenye ulimwengu wa kawaida wanaonekana washenzi kwa kuuza utu wao na kwenye ulimwengu mwingine wa giza hutumika kama wapagazi.
 
Na we samurai si uandike meseji moja? Inaboa kusona vipisi vipisi toka kwa mtu mmoja huyo huyo maudhui hayo hayo.

Back to the topic, huyo dada amejizira. Kajishusha thamani zaidi ya hayo mavi yenyewe.

Sasa kama hajithamini yeye mwenyewe nani atamthamini? Labda aanze kutibikiwa kisaikolojia ajithamini kwanza.
 
Back
Top Bottom