Huyu hana chembe ya uzanzibari ni ktoka kisiwani mafia ndio kwenye mizizi yake..Huyu naye ni wa Zanzibar?
Haituhusu Sisi watanganyikaHuyo ndie rais ajahe Zanzibar
Late JPM aliwafurusha wote, bibi kaja kuwakusanya tena na sio hao tu mpaka wilaya za tanganyika kaweka wazanzibar.Huyu pia ni mla Urojo
Late JPM aliwafurusha wote, bibi kaja kuwakusanya tena na sio hao tu mpaka wilaya za tanganyika kaweka wazanzibar.Huyu pia ni mla Urojo
Ni mwarabu koko wa zanzibar .Kwani nae ni mzanzibar anaewaonya watanganyika? Au imekaaje