Sasa mkubwa sisi video iliyoharibiwa hatujaiona, sauti inayosambaa mitandaoni hatujaisikia, Rose Muhando tunamsikia tu hatumjui, Jowzeey hatumjui kabisaaaaa tunapata wakati mgumu kweli yaani kuchangia
Basi tuonee huruma tuwekee hata video tu iliyoharibiwa