Ambiele Kiviele JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 15,267 Reaction score 29,917 Dec 15, 2016 #1 Hivi, Tangu mwaka 1962 wimbo wa Taifa unaimbwa lakini Video yake haijatoka Kwanini? Inamaana pesa za Serikali zinaenda wapi? Hilo Nalo Ni JIPU!!! Naomba 'MAGUFULI' Alitumbue! AU MWENZANG UNAYO VIDEO YAKE! Unitumie, by sabrah
Hivi, Tangu mwaka 1962 wimbo wa Taifa unaimbwa lakini Video yake haijatoka Kwanini? Inamaana pesa za Serikali zinaenda wapi? Hilo Nalo Ni JIPU!!! Naomba 'MAGUFULI' Alitumbue! AU MWENZANG UNAYO VIDEO YAKE! Unitumie, by sabrah
mxsdk JF-Expert Member Joined Aug 11, 2014 Posts 3,585 Reaction score 2,049 Dec 15, 2016 #3 Ondoa upuuzi wako..!
S Socw JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 1,329 Reaction score 2,644 Dec 15, 2016 #4 itaenda kushutiwa sauzi kwa godifaza
geof_intelegenc Member Joined Nov 13, 2016 Posts 36 Reaction score 7 Dec 17, 2016 #5 Saa hivi wimbo wa taifa ni wa darasa ujaona video yake
Giver2020 Member Joined Jun 7, 2016 Posts 48 Reaction score 15 Dec 18, 2016 #6 Wimbo wa taifa saizi ni kuisoma namba
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 29,909 Reaction score 32,414 Dec 18, 2016 #7 [HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG] [HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG] [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG] [HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG] [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
mwambadog JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 1,736 Reaction score 1,446 Dec 18, 2016 #8 utawekwa kwenye sandarusi haya