Thomac Member Joined Jun 8, 2019 Posts 5 Reaction score 3 Aug 30, 2019 #1 Kama kuna mtu ana uza vidonge vya vitamin kwa wale wapiga gym wanaelewa kwa mfano kama amino nataka vidonge vyaku jaza tu 0624585115 nicheki
Kama kuna mtu ana uza vidonge vya vitamin kwa wale wapiga gym wanaelewa kwa mfano kama amino nataka vidonge vyaku jaza tu 0624585115 nicheki
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,048 Reaction score 15,465 Aug 30, 2019 #2 Mzee unahitaji Protin au Vitamin [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Muuza simu used JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 4,393 Reaction score 7,074 Aug 30, 2019 #3 Utakuwa na mwili nyumba uume kama kiroboto
Mr Miller JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 11,449 Reaction score 25,768 Aug 30, 2019 #4 Thomac said: Kama kuna mtu ana uza vidonge vya vitamin kwa wale wapiga gym wanaelewa kwa mfano kama amino nataka vidonge vyaku jaza tu 0624585115 nicheki Click to expand... protein supplements ni nzuri kama utavitumia kwa kufata maelezo ya wataalamu, fika kwenye gym zinazoongozwa na wataalamu watakupima watajua dozi ya kukupa na aina ya mazoezi ya kufanya ili uweze kubalance mwili. si vyema kununua na kuzitumia bila elimu stahiki.
Thomac said: Kama kuna mtu ana uza vidonge vya vitamin kwa wale wapiga gym wanaelewa kwa mfano kama amino nataka vidonge vyaku jaza tu 0624585115 nicheki Click to expand... protein supplements ni nzuri kama utavitumia kwa kufata maelezo ya wataalamu, fika kwenye gym zinazoongozwa na wataalamu watakupima watajua dozi ya kukupa na aina ya mazoezi ya kufanya ili uweze kubalance mwili. si vyema kununua na kuzitumia bila elimu stahiki.
Gien Banks JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 336 Reaction score 887 Aug 30, 2019 #5 Unaancha kupata lishe bora unahangaika tu. Gonga menu ya maana kula gym uone kama hujazi.