The Mastermind
Senior Member
- Dec 3, 2012
- 107
- 50
Kaka nijuze kwa press media ipi na mamlaka gani utufahamishe kuwa Chloramphenicol imepigwa marufuku?mm ni medical students .....kwa nnavyojua mm hiyo dawa imepigwa marufuku isipokuwa specialist pekee ndo anaruhusiwa kumpa mgonjwa hiyo dawa
Acha kuwa undermine CO... malpractice haifanywi na Co's tu.Kuna Co wengi wazuri tu na kuna Mds Pia nyanya tu . It depends sometimes na uaadilifu pamoja na package yake kichwani. Tunafanya vizuri pale tunapokuwa tunasoma mara kwa mara. Bila kupata updates na kupanda kusoma with time vitu vina fade out.Huyo aliyekupa atakuwa CO sio medical doctor.
Literature inasema. ..use chloramphenicol to pregnancy mother if the benefits outweigh the risk.Habari zenu wadau mke wangu alikuwa anasumbuliwa na tumbo na pia mikono kufa ganzi tumeenda hospital kufanya vipimo tulivyoandikiwa na dokta akabainika kuwa ana typhod ndipo dokta akatuandikia dawa tajwa hapo juu sasa nimepatwa na hofu baada ya kusikia kwamba haifai kutumia dawa hiyo kwa mama mjamzito na haswa wakati wa mwisho wa ujauzito naomba msaada wenu juu ya ukweli wa maneno hayo na kama ni kweli jee dawa gani ya typhod ni nzuri kwa mama mjamzito?
Shukran sana mkuu nimeshauriwa amoxillinC:Use with caution if benefits outweigh risks. Animal studies show risk and human studies not available or neither animal nor human studies done.Kwa Hiyo usitumie Hiyo dawa ni category c kuna dawa nzuri tu za mbadala
Nimeona bora niachane nayo nimemtafutia dawa mbadalaLiterature inasema. ..use chloramphenicol to pregnancy mother if the benefits outweigh the risk.
(Category C) ikiwa na maana kulingana na tafiti zilizofanyiwa majaribio kwa wanyama walio na mimba dawa imeonyesha madhara ila hakuna tafiti zilizofanyika kwa mwanadamu aliyemjamzito. Tahadhari kubwa kwenye utumiaji wa dawa inahitaji katika miezi mitatu ya awali ya ujauzito,''[organogenesis ] Conclusion daktari yuko sahihi tu.
Hao waliofanya majaribio kwa wanyama wanaakili zao nisiwaone wajinga mimi nikafanya majaribio kwa wangu. Sema asante sana kwa mchanganuoNimeona bora niachane nayo nimemtafutia dawa mbadala
Hao waliofanya majaribio kwa wanyama wanaakili zao nisiwaone wajinga mimi nikafanya majaribio kwa mke wangu. Sema asante sana kwa mchanganuo
Upo sawa kabisa, hata mi sijawahi kusikia katazo la jumla la hiyo dawa, bal katazo lililowah kutokea ni hilo la kutoka kiwanda flanKaka nijuze kwa press media ipi na mamlaka gani utufahamishe kuwa Chloramphenicol imepigwa marufuku?
Ninakumbuka ni Chloramphenicol injection kutoka kiwanda cha Lincoln kwa kusababisha severe adverse effects na pia hata vifo kwa walioitumia. , nieleweke....chloramphenicol injection kutoka kiwanda cha lincolin peke yake.Cloxacilin suspension pamoja na Cloxacilin capsules, ketokonazole tablets pamoja na kuziondoa Sp kama dawa ya msingi ya kutibu malaria isipokuwa zitumike kama kinga ya malaria kwa kina mama wajawazito tu.
Acha kuwa undermine CO... malpractice haifanywi na Co's tu.Kuna Co wengi wazuri tu na kuna Mds Pia nyanya tu . It depends sometimes na uaadilifu pamoja na package yake kichwani. Tunafanya vizuri pale tunapokuwa tunasoma mara kwa mara. Bila kupata updates na kupanda kusoma with time vitu vina fade out.
Hayo pia yako cikushangai.Ma CO ni vlaza tu