Vidonge vya kubadili harufu unapochafua hali ya hewa

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Wakuu kuna vidonge vimetoka unameza ili pale unapopumua hali ya hewa isichafuke.

Kuna harufu ya aina nyingi, strawberry, mango n.k

Hata mkibana kwenye daladala uniachia tu yuu-suu-fuuu watu wanaanza kugeuka nani anakula maembe humu ndani kumbe we unafanya vyako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itasaidia kwa kiwango flani,maana watu wanateseka sana kwa kujibana...
 
Hamuwezi kushindana na nature, mwisho mtakula dawa ili msipate kinyesi chenye harufu.
 
Hata miaka ya 80 vidonge hivyo vilikuwepo. Enzi za usafiri wa UDA watu wanabanana kiasi kwamba hakuna anayeweza kula kitu, unasikia harufu ya Nanasi. Mwenyewe unafurahia na kuanza kuvuta hewa kwa kasi, kumbe unavuta harufu ya ushuzi. Ilikuwa nikipanda UDA na kusikia harufu kama hizo naziba pua. Kilangila.
 
Shuleni vinafaa sana.
Ila bila picha naona uzushi tu.
 
Ya nini kujibana wewe kama ni kujamba jamba tu unakua umepumua kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kile kiyusuphuuuuu kinawaangalia kinawachora tuu

Sent from my I phone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…