milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,166
Matatizo ya moyo ni ugonjwa nyeti sana unaohitaji uchunguzi wa kina ili kuweza kupata matibabu sahihi. Unahitaji kuonana na Dr kujua tatizo lakoMsaada ndugu zangu Mwenye kujua vidonge vinavyoweza kupunguza mapigo ya moyo yaendayo mbio naomba anisaidie kunitajia kuna kipindi nlipewa vidonge vilikuwa vidogo vidogo rangi ya kahawia ila nimevisahau jina lake Asanteni
Bp nimepima ipo normal kabisaKwanini usiende kwa daktari atakaepima BP, na uzito wako ndiyo aamue dawa?
Asante kwa UshauriTumia Carvedolil zinauzwa kwenye 12.5 au 6.25 mg zina relax muscles na kupunguza pressure lakin kutumia ushauriane na daktari moyo Sio Jino
Pima na cholesterol ikiwezekanaBp nimepima ipo normal kabisa
Ni kweli mkuu kuna kipind nlipewa hvyo vidonge hali ilitulia kabisa ila kama nlivyotaja kwenye thread jinsi vilivyo ila jina nimesahau ndo navihitajiMatatizo ya moyo ni ugonjwa nyeti sana unaohitaji uchunguzi wa kina ili kuweza kupata matibabu sahihi. Unahitaji kuonana na Dr kujua tatizo lako
Itanibidi nifanye hvyoPima na cholesterol ikiwezekana
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Tumia Carvedolil zinauzwa kwenye 12.5 au 6.25 mg zina relax muscles na kupunguza pressure lakin kutumia ushauriane na daktari moyo Sio Jino
Kila mtu hupewa dawa kulingana na hali yake kwa muda huo. Usifanyiwe description JF tafadhali. Heart diseases ni very sensitive, usipige sarakasi kwenye transformerMsaada ndugu zangu Mwenye kujua vidonge vinavyoweza kupunguza mapigo ya moyo yaendayo mbio naomba anisaidie kunitajia kuna kipindi nlipewa vidonge vilikuwa vidogo vidogo rangi ya kahawia ila nimevisahau jina lake Asanteni
Ndiyo viagra inashusha pressure kwa wale wenye hypertension ila zipo aina mbili tofauti viagra nyeupe specific kwa ajiri ya pressure na ile nyingine blue kazi yake unaijua japo zote zinashusha pressure ila moja ni multipurpose.niliwahi kusikia viagra kwa asili walitengenezewa wagonjwa wa moyo, kuna ukweli wowote.
Sent using Jamii Forums mobile app