vidoti kwenye macho!

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
machoni kwangu nikiagalia vitu kama karatasi nyeupe,angani au kwenye maji,naonakunavidoti vyeusi.alafu macho yangu naona mazito sana nifanyeje sasa.shule ya boarding niliyosoma ilikua maharage only
 
nenda kwa daktari wa macho akupime. maharage si ishu maana watu kibao tuliosoma enzi za mwalimu za kula maharage kwa kwenda mbele macho yako poa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…