Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!
Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!
Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:
Hapo kwa redi ZD....uzoefu??Hata waliooa.sio mabachela tu.Wengi siku hizi ni wanaume BUSHOKE.Wanataka kulishwa.Na wanamuziki wa kikongo ndio wamezidi
Hata humu JF wapo sana.Ila nsiniquote vibaya,sijasema wote,nimesema baadhi wapo humu JF.Ukiona hivyo na uanze kutia shaka sana na uanaume wa mtu huyo!...Aidha anazidiwa na hormones za kike au ana biashara zingine haramu...Tangu lini mwanaume akajinadi bana?
Hata humu JF wapo sana.Ila nsiniquote vibaya,sijasema wote,nimesema baadhi wapo humu JF.
Hapana.sio uzoefu.Si unajua magazeti tena ya uwazi na risasi.Yanaweka mambo bayana kabisaaaaaa.Na hata hivyo mie sina uwezo wa kumlisha mwanaume.Najitosheleza mwenyewe tu..Hapo kwa redi ZD....uzoefu??
Sio hivyo.Lakini hata wewe ni shahid jinsi post za watu zinavyokuwaga ,kibushokebushoke tu.Haina hata haja ya kuuliza,mtu utamjua tu kama ni wa KIUME au MWANAUME.Sio wote ni magreti sinkaz wengine ni magreti stinkasPlease!!!!!!!!! Of all the places? Not JF!
ZD: kuna watu wameshatangaza nia?
Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!
Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!
Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:
Hahaha naona leo umeamua kuwatolea uvivu!Sio hivyo.Lakini hata wewe ni shahid jinsi post za watu zinavyokuwaga ,kibushokebushoke tu.Haina hata haja ya kuuliza,mtu utamjua tu kama ni wa KIUME au MWANAUME.Sio wote ni magreti sinkaz wengine ni magreti stinkas
Ukiona hivyo na uanze kutia shaka sana na uanaume wa mtu huyo!...Aidha anazidiwa na hormones za kike au ana biashara zingine haramu...Tangu lini mwanaume akajinadi bana?
Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!
Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!
Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:
Wamejaa tele humu wanume suruali tunawaitaHata humu JF wapo sana.Ila nsiniquote vibaya,sijasema wote,nimesema baadhi wapo humu JF.
Duh haya bana.............................Wamejaa tele humu wanume suruali tunawaita
Dah...:confused2:....Wamejaa tele humu wanume suruali tunawaita