kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 56
mhh, wadada mna mambo....kwa bahat mbaya mm ndo mto wenyewe, tena siyo seasonal. wangu hahtaj kidum wala kijiko anaogelea atakavyo na hana haja ya kuhfadh maji pemben
Hivi hujaona nilivyomjibu FL1??Usipende kuhukumu kabla hujajua mnyororo mzima ulikua unaelekea wapi...wakati huo huo nashukuru maneno yako maana kuolewa sio baraka kwa wote.Humu ndani nafikiri wanawake ni POOR THINKERS, Great haipo tena. Hivi kweli mwanamke unakuwa na kidumu kwa nguvu zipi? Ni mashindano au ni hulka tu kwamba uonekane unaweza? Mimi kweli ni mshamba nahisi hata mapenzi siyajui. Ukiangalia wenye hizi tabia ni wale waliochezwa wanafikiri kwa utalaam wao wanaweza ku-grab wanaume the way they want.
Sasa subirini magonjwa ndiyo yatadetermine life yako, hivyo vidumu vitatumika kukumiminia maji nyuma ya maiti!
Shame on you wanawake wote mnaofagilia viidumu. Lizy kila siku unaponda kuolewa leo unashabekia vidumu! ndoa utaisikia kwa wenzako! Sorry to wish you that.
: Sipendi kuizalilisha mbagala ukizingatia naishi huko mimi!kidumu na mbagala vina uhusiano gani?hii thread ipo kimbagala sana duh!
kaka usiusemee Moyo.......!ukiona mwenzio ananyolewa tia maji.......
haahhahahaaha!:biggrin1::biggrin1: yaani kuna vikopo, vidumu , Ndoo na Pipa mpaka tanki.....we mdada jiangalie wapi panafaa....:biggrin1::biggrin1: angalia usijeota matuta kwenye misuli ya shingo na mikono ukawa kama baunsa hutamaniki :biggrin1::biggrin1: wakati wenzako wanatumia matanki full kimiminika walaaaiiiniiii :biggrin1::A S-rose::tonguez:
Sijapenda hapo dada carol kwa nn umjaji mwenzako ki hivo?Humu ndani nafikiri wanawake ni POOR THINKERS, Great haipo tena. Hivi kweli mwanamke unakuwa na kidumu kwa nguvu zipi? Ni mashindano au ni hulka tu kwamba uonekane unaweza? Mimi kweli ni mshamba nahisi hata mapenzi siyajui. Ukiangalia wenye hizi tabia ni wale waliochezwa wanafikiri kwa utalaam wao wanaweza ku-grab wanaume the way they want.
Sasa subirini magonjwa ndiyo yatadetermine life yako, hivyo vidumu vitatumika kukumiminia maji nyuma ya maiti!
Shame on you wanawake wote mnaofagilia viidumu. Lizy kila siku unaponda kuolewa leo unashabekia vidumu! ndoa utaisikia kwa wenzako! Sorry to wish you that.
mhh, wadada mna mambo....kwa bahat mbaya mm ndo mto wenyewe, tena siyo seasonal. wangu hahtaj kidum wala kijiko anaogelea atakavyo na hana haja ya kuhfadh maji pemben