Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
mwenzio naandaa habari moja tu kwa siku, wiki hii angalau nmeingiza laki 2 wakati wewe unachojua kukifanya mtandaoni ni kujaza kichwa chako umbeya wa insta.hizo ni story za kwenye magazeti ebu fungua na wewe account yako tuone utakavyo anza kulipwa pesa ndefu
mvua haikwepekiWCB 4 LIFE
Acha ungo usd 87 ni laki mbili tangu liniWe endelea tu kubisha wakati hujui chochote, mimi binafsi sifanyi youtube ila nafanya shughuli za kuniingizia kipato mtandaoni kwa njia ya blog yangu, nina wadau nafahamiana nao wanapata ridhiki zao youtube.
watu wanajifungia ndani na pc zao wanapiga dola safi tu (kuna vijana wanafumua dola elf 8 kila mwezi, kaibadilishe iwe pesa ya madafu sasa!!!), binafsi karibu kila wiko maingiza zaidi ya laki na nusu, nimeajiriwa serikalini napokea mshahara + posho safi ila hizi laki nanusi za kila wikizina saidia kulipa bills kama sevisi za kamkwechu, mlinzi, dstv, kumwaga takataka, chakula cha mbwa, mshahara wa binti anaesaidia kazi za ndani , n.k
View attachment 1439951
π³π³hivi ni kwamba kitu pekee mnachokijua mtandaoni ni kufuatilia umbea au????Acha ungo usd 87 ni laki mbili tangu lini
Hongera kwa kujua hilo na kuwa na blogπ³π³hivi ni kwamba kitu pekee mnachokijua mtandaoni ni kufuatilia umbea au????
HOSEA 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
View attachment 1439967
Laki na nusu inavyotumika sasaWe endelea tu kubisha wakati hujui chochote, mimi binafsi sifanyi youtube ila nafanya shughuli za kuniingizia kipato mtandaoni kwa njia ya blog yangu, nina wadau nafahamiana nao wanapata ridhiki zao youtube.
watu wanajifungia ndani na pc zao wanapiga dola safi tu (kuna vijana wanafumua dola elf 8 kila mwezi, kaibadilishe iwe pesa ya madafu sasa!!!), binafsi karibu kila wiko maingiza zaidi ya laki na nusu, nimeajiriwa serikalini napokea mshahara + posho safi ila hizi laki nanusi za kila wikizina saidia kulipa bills kama sevisi za kamkwechu, mlinzi, dstv, kumwaga takataka, chakula cha mbwa, mshahara wa binti anaesaidia kazi za ndani , n.k
View attachment 1439951
inalipia baadhi ya bills bila kugusa mshahara wangu wa serikalini.
Mkuu acha kujibishana na vitoto vya Tandaleinalipia baadhi ya bills bila kugusa mshahara wangu wa serikalini.
πππ³π³hivi ni kwamba kitu pekee mnachokijua mtandaoni ni kufuatilia umbea au????
HOSEA 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa,
Nahisi ukiokota dola noti ya dola100 naweza kuinunua kwako kwa elfu kumi na ukajiona mjanja kumbe boya tu, mimi naenda zangu kuiuza hata kwa hasara ya elfu 30 nikaoewa laki mbili misimbazi 20
View attachment 1439967
Jamaa anaangaika kubishana na watoto
Unajua kazi ya google ukiachana na kutumia kutafuta udaku???? Kama kiingereza hakipandi omba msaada, kila kitu kipo googleBado umeandika maneno mengi bila evidence from Youtube wanalipaje per view/ per subscriber
Labda nikuulize cha kwanza Youtube anapataje hela?
Cha pili views zinalipiwaje i.e kuna video ndani ya wiki ina views 1million nyingine ndani ya mwezi 1million nyingine ndani ya mwaka 1million.
Kama hujui sema nikusaidie
Unajua kazi ya google ukiachana na kutumia kutafuta udaku???? Kama kiingereza hakipandi omba msaada, kila kitu kipo google
Hongera kwa hilo ila ukiweza kuweka hapa ushahidi wa hayo malipo nitakulipa mara 6 ya malipo yako yote uliyo wahi kulipwamwenzio naandaa habari moja tu kwa siku, wiki hii angalau nmeingiza laki 2 wakati wewe unachojua kukifanya mtandaoni ni kujaza kichwa chako umbeya wa insta.
sema nahisi hujui hata kiingereza maana hivi vitu vipo wazi mtandaoni, nenda kwa ras simba akupige msasa wa kimombo hata cha good morning π€£ π€£ π€£
hujui kitu, vua chupi kaa pembeni tu