Views za wimbo wa King Kiba Zashuka Youtube

Mwanaume una group 22!!!!!!??? Unachati nini.? Sms 600+
Ni sahuhi umshabikie kiba
nimecheka kinouma kuona ma group ya watsup ya uyu jamaa ndo unajua aina haja ya kubishan na mtu wa namna hii πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜
 
Kuna vitu kuvifanya inatakiwa uwe na kiwango fulani cha uchizi kichwani..moja ya vitu hivyo ni Kumshabikia Alikiba.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kumshabikia Alikiaba na kua tahira maandazi...Umetu prove mtoa mada na wenzio

Ukitumia matusi kejeli au ukali....huwa haufikishi lengo

Kama wa alikiba taahiras wa amber rutty waitweje?

What if mama yako mshabiki wa hawa wote?
 
Mtu ana magroup 20+ utadhani dalali wa nyumba na viwanja dadeki.

Kumshabikia kiba hadi uwe chizi ndo utamwelewa maana mwenyewe hapendi shoo off hadi YouTube ndo maana hataki viwer wengi wandikwe, maana ilizidiwa YouTube watu waliangalia kwa mkupuo

#wcb for real music & zuchu super women
 
Kuona izo group zako tu za whatsup nka jua apa..tuna sumbuliwa na mtoto wa shule.kajisomee kijana

Sent from my SM-A105G using Tapatalk
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Eti una magroup 20+ utazani Ni dalali wa nyumba πŸ˜ƒπŸ˜ƒ dada umejua kunichekesha dah! Jamiiforum siami aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…