ππππππππππmkuu tuna subiri link ya spartcus mnyama mkali usijisahaulishe oooh
Naomba link ya hilo group la spartacus the mnyama mkali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji460]
WCB mmeiba nyota ya Kiba hamjatosheka mmeamua kuiba hadi views zake
mrudishieni sio fair
nimecheka kinouma kuona ma group ya watsup ya uyu jamaa ndo unajua aina haja ya kubishan na mtu wa namna hii ππππMwanaume una group 22!!!!!!??? Unachati nini.? Sms 600+
Ni sahuhi umshabikie kiba
Kwahyo siku hizi ofisi za Youtube ziko Wasafi? Au ni chuki zako tu.Toka 1m mpaka laki 7+ View attachment 1414224
πππAyo ma group Sasa itabidi tuanzishe uzi wa kupost ma group ya watsup na telegram πππKupitia hayo magroup ya WhatsApp tushakujua wewe Ni mtu wa aina gani
Kuna vitu kuvifanya inatakiwa uwe na kiwango fulani cha uchizi kichwani..moja ya vitu hivyo ni Kumshabikia Alikiba.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kumshabikia Alikiaba na kua tahira maandazi...Umetu prove mtoa mada na wenzio
[emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ya Wasafi Tutaongea baadaye!
Mkuu Yaani Una group kabisa kwa Ajili ya Kujadili ya Spartacus?
ππππππnimecheka kinouma kuona ma group ya watsup ya uyu jamaa ndo unajua aina haja ya kubishan na mtu wa namna hii ππππ
Angalia kwanza group zake za WhatsApp utagundua unapoteza muda wako kumjibuKwahyo siku hizi ofisi za Youtube ziko Wasafi? Au ni chuki zako tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππKuona izo group zako tu za whatsup nka jua apa..tuna sumbuliwa na mtoto wa shule.kajisomee kijana
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
Eti una magroup 20+ utazani Ni dalali wa nyumba ππ dada umejua kunichekesha dah! Jamiiforum siami aiseeMtu ana magroup 20+ utadhani dalali wa nyumba na viwanja dadeki.
Kumshabikia kiba hadi uwe chizi ndo utamwelewa maana mwenyewe hapendi shoo off hadi YouTube ndo maana hataki viwer wengi wandikwe, maana ilizidiwa YouTube watu waliangalia kwa mkupuo
#wcb for real music & zuchu super women
Duh, anachangamoto zipi mkuu?Bora kukaa single kuliko kuingia kwenye relation na mwanaume anamiliki magroup ya WhatsApp zaidi ya 10......